Manchester United wanakaribia kumuongezea mkataba Bruno Fernandes. Mafanikio katika mazungumzo wiki iliyopita - makubaliano sasa yako katika hatua za mwisho baada ya mazungumzo kufunguliwa Julai iliyopita. 🔴🇵🇹 #MUFC
Man United wanamtaka kama mchezaji muhimu kwa siku zijazo..
Chanzo Fabrizio
0 Comments