Klabu ya Al Hilal 🇸🇩 imeiomba CAF kutumia VAR kwenye mechi yao ya mwisho ya makundi ya CAF Champions League dhidi ya Al Ahly Sc 🇪🇬
Mshindi wa mechi hiyo atatinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo,
Refa wa mechi hiyo atakuwa ni Janny Sikazwe 🇿🇲
0 Comments