Yanga tutatwaa ubingwa wa ligi kuu mfululizo mpaka (2030)

"Yanga tutatwaa ubingwa wa ligi kuu mfululizo mpaka (2030), utawala wote wa Rais Samia Suluhu tutatwaa ubingwa"

"Baada ya hapo ndipo tutaangalia ni nani tumpe 🏆 kama tulivyofanya mwaka huu kwenye Mapinduzi cup"

"Kwa sasa Yanga imejijenga 'kiuchumi' kuliko wakati wowote, inakwenda kuwa klabu kubwa zaidi yenye mabadiliko"

🔍 Haji Manara msemaji wa Yanga. #binagoupdates 

Post a Comment

0 Comments